Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Madonga amjibu Eric Omondi, mimi ndio kiboko yake Kenya
Kupitia kipindi cha Recap na Mando @el_mando_tz amefanikiwa kuzungumza na @k_mandonga na kumuuliza baadhi ya maswali ikiwemo je aliisikia kauli ya @ericomondi kuwa akienda tena Kenya aangalie asitumike watu wengine wajipatie hela kupitia yeye.
@k_mandonga amemjibu @ericomondi na kusema yeye ndio kiboko wa @ericomondi Kenya.