Michezo
Maestro: Ukimya wa Babra ndio uliomuondoa Manara (+ Video)
Mtangazaji huyo na mchambuzi wa soka kutoka Efm @maestro_ibrahim ameongeza kuwa @hajismanara alifanya kosa huenda hakujua madhara yake shida inakuja CEO @bvrbvra alitumia busara akakaa kimya bila kumjibu.
@hajismanara ameifanyia @simbasctanzania mambo makubwa sana lakini kwa hili alilofanya ilitakiwa mmoja aondoke, je kwa muliozisikia sauti ungemuadhibu nani kama wewe ungekuwa msuluhishaji @hajismanara au @bvrbvra ambaye hakuongea chochote.