Habari
Malawi yatangaza wiki mbili maombolezo vifo vya watu 225
Malawi imeanza maombolezo ya wiki mbili kufuatia vifo va zaidi ya watu 225 baada ya nchi hiyo kupigwa na kimbunga Freddy kilichoambatana na mvua iliyosababisha mafuriko.
Malawi imeanza maombolezo ya wiki mbili kufuatia vifo va zaidi ya watu 225 baada ya nchi hiyo kupigwa na kimbunga Freddy kilichoambatana na mvua iliyosababisha mafuriko.