Michezo

Mamelodi yawatoa kimasomaso Waafrika

Mamelodi Sundowns πŸ‡ΏπŸ‡¦ imekuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kushinda mchezo kwenye FIFA Club World Cup 2025 ambapo imeibuka na Ushindi wa Goli 1-0 Dhidi ya timu ya Ulsan HD πŸ‡°πŸ‡·.

Mamelodi imekusanya kiasi cha Tsh. Bilioni 5.2 baada ushindi, FIFA Club World Cup timu ikishinda inapata Tsh. Bilioni 5.2 na ikitoka sare Tsh. Bilioni 2.6 Kwenye hatua ya Makundi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents