BurudaniHabariMichezo

Manara adai Yanga kufungua kesi CAS kisa Simba

Manara anasema kuwa Inaonyesha KAMATI iliiogopa Simba, walikuwa na ajenda gani kukaa kikao kabla??

@hajismanara anaongeza kuwa Yanga wapo Tayari kufungua Kesi Mahakama ya Mpira ya Kimataifa ya CAS na Ataendesha zoezi la Mashabiki wa Yanga kuchanga pesa.

Manara anapigilia mstari wa nchi 6 kuwa HAKUNA MECHI tena ya SIMBA na YANGA kurudiwa.

Video nzima ipo Katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

 

 

 

Credit by Abbrah255 & @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents