HabariMichezo

Mandala atoboa kilichopo nyuma ya Yanga na matokeo mabaya

Shabiki Nguli wa klabu ya Simba maarufu kama Mandala leo mara baada ya kuibuka kwa Ushindi wa Simba dhidi Tanzania prison wa bao 3-0 katika Uwanja wa KMC Complex, ameamua kuwalipua mashabiki wa Yanga waliomkejeli Chasambi mara baada ya kujifunga katika mchezo dhidi ya Fountain Gate.

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

Imeandikwa na kuandaliwa @Johnbosco_mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents