Michezo

Mandala: Yanga imekuwa kama Bajaji mbovu

Shabiki wa klabu ya Simba maarufu kwa jina la mandala leo kuelekea mchezo wa kufuzu hatua ya makundi Kati ya Simba dhidi ya Nsingizini amefunguka kwa kauli za kejeli kwa mashabiki wa Yanga na kudai kuwa Yanga kwa sasa imekuwa kama Bajaji mbovu.

 

kwa Kuangalia maongezi yote tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongofive

 

 

 

 

imeandikwa na @johnbosco mbanga

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents