Michezo

Mangungu: Anayevaa jezi za Simba na kuikejeli dawa yake tumeshaipata

Mwenyekiti wa klabu ya Simba upande wa wajumbe Murtaza Mangungu Mara baada ya sare ya 0-0 baina ya Simba na Nzingizini Hotspurs amefunguka kuwa nje ya matokeo ya leo lakini Sifa ya kuwa shabiki wa Simba ni kujiamini zaidi.

Kuangalia video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongofive

Imeandikwa na kuandaliwa @witnessflavian24 & @johnbosco_mbanga

 

 

 

 

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents