Habari

Mapokezi ya Waziri Mkuu Majaliwa uwanja wa ndege Burundi utapenda (+Video)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokelewa na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombanza alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura akiwa katika ziara yake ya siku moja nchini humo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents