Habari
Mapokezi ya Waziri Mkuu Majaliwa uwanja wa ndege Burundi utapenda (+Video)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokelewa na Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombanza alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura akiwa katika ziara yake ya siku moja nchini humo.