Burudani

Mapya kuhusu Chief Godlove maswali mitandaoni

hapa anaadika kigogo 200014

Kwa wasiomjua @chief_godlove , File langu likikamilika zaidi nitaeleza hapa. Sasa ipo hivi kulingana na tafiti zangu mpaka sasa.
👉 Kwanza kabisa wanaosali kwa kanisa la huyu jamaa wengi wao ni wamama na wazee walio vizuri kiuchumi. Vijana ni wachache sana
👉 Ibada zote huwa zinafanyika tarehe 20 tu kila mwezi 🤔
👉 Wakati wa ibada wanavaa mavazi meupe na meusi tuu 🤔

Hii dini inaleta Question mark, kwa nn kuwe na masharti ya namna hii?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents