Michezo
Marcio Maximo alalamikia penati waliyopewa Yanga dhidi ya KMC
Kocha wa klabu ya KMC Marcio Maximo ameikataa wazi penati waliyopewa Yanga dhidi Yao na kusema kuwa haikuwa sahihi, pia amepongeza wachezaji wake namna walivyopambana na kudai kuwa maamuzi ya refa ndio yaliwapelekea kupoteza 4-1.
kuangalia video Kamili tembelea ukurasa wetu YouTube Bongofive






