Burudani
Marioo amekuwa Cheap kama Rayvanny!!

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amemzungumzia tena Marioo baada ya kupewa Collabo nyingine.
Anasema Marioo asipokuwa makini kwa namna anavyogawa Collabo kama Njugu atakuwa Cheap na atazoeleka mapema sana kwenye masikio ya Mashabiki.
Anasema kwa sasa karibia kila wiki kuna wimbo mpya Marioo anashirikishwa, kwa wasanii wengine inawasaidia ila kwa upande wake inamfanya azoeleke mapema.
Uchambuzi mzima link hii hapa chini
Imeandikwa na Bryan Hillary





