Burudani

Marioo atoboa siri kolabo yake na Diamondplatnumz

Katika mazungumzo na waandishi wa habari @marioo_tz ameweka wazi kuhusu kolabo yake na msanii @diamondplatnumz kwamba ikifika muda sahihi wa ngoma ya Diamond akiwa na yeye itatoka na itakuwa ya kitofauti

Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya Youtube ya Bongo5

Written and edited by #abbrah255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents