Burudani
Marioo na Paula waja na Surprise

Staa wa Muziki wa Bongo-Fleva Marioo amemaliza utata na tetesi juu ya ujauzito wa mpenzi wake Paula Kajala baada ya kuchapisha Video fupi kwenye ukurasa wake akisema “Adding a new member to our squad soon Inshallah! Proud of you Malkia Paula Kajala Mungu akubariki wewe na Familia Hakunamatata”- Marioo.

Mama wa Paula Kajala Frida akaweka comment na kuandika “Mkweee”.
Imeandikwa na Mbanga B.





