BurudaniHabariMahojiano

Martin Kadinda hajayapitisha mahusiano ya Wema Sepetu na Whozu??

Martin Kadinda mtu ambaye amekuwa meneja wa @wemasepetu kwa muda mrefu ameeleza sababu ya kutohudhuria baadhi ya matukio ya @wemasepetu na @whozu_ hasa birthday parties.

@martinkadindaofficial ameleeza kuwa yeye anachojua @wemasepetu na @whozu_ wanapendana na anawatakia kila la kheri.

@martinkadindaofficial anashangaa kuhusu @wemasepetu kuwahi kuwa kwenye mahusiano na @diamondplatnumz 🤔🤔

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents