Afya
Masanja Mkandamizaji aendelea na zoezi la ugawaji vifaa vya kujikinga na Corona (+ V ideo)
Leo @mkandamizajii alikuwa Mbagala katika kutoa misaada kwa akina mama ntilie hasa vifaa vya kujikinga na CORONA kama Sanitizer, Barakoa, Ndoo za kunawia maji kwa kuungana na mabalozi wake ambao ni @officialshilole @goodluckgozbert na @unclejimmytz maeneo ya Mbagala kituo cha daladala.