HabariMichezo

Mashabiki wa Yanga wafurika Makao Makuu Jangwani (+Video)

Mashabiki wa Yanga wafurika Makao makuu ya Klabu hiyo kujipatia jezi mpya zilizozinduliwa hapo jana Januari 30,2023. Jezi hizo zenye mdhamini mpya Kampuni ya Haier zinauzwa kwa shilingi elfu 50.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents