Habari

Masoud Kipanya auliza maswali mazito kwenye mdahalo wa Uchumi Tanzania

Mchoraji na mtangazaji maarufu wa Clouds Fm Masoud Kipanya leo katika Mdahalo wa mwenendo wa Uchumi wa awamu ya sita na sekta binafsi na sekta ya Umma katika ujenzi wa uchumi jumuifu amejitokea na kuhoji maswali mazito ikiwa na kuhusu Keki ya Taifa kumegwa na watu wacheche nini kifanyike katika kuzuia hiyo na kupata viongozi ambao watakuwa waadilifu katika Taifa.

Pia ameomba wataalamu wa miradi mbalimbali pamoja na watumishi wa umma kutoa ripoti kwa wakati ili kuondoka Sitofahamu kwa Raia.

Screenshot

 

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents