Habari

Maswali ya Mimi Mars kwa Salim Kikeke mbele ya Waziri Slaa

Usiku wa jana kumefanyika uzinduzi wa Shomax Tanzania ambapo Viongozi mbalimbali wa Kiserikali walishiriki pamoja na wadau mbalimbali wa maswala ya Tamthilia

Licha ya kuonekana kuwa ni wazo la kipekee Waziri wa Habari Mhe Jerry Slaa amesema ujio wa Showmax Tanzania umeleta suluhusho la Maudhui

Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya Youtube ya Bongo5

Written and edited by #abbrah255 and @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents