Mchungaji @hananja.r amesaianiwa Efm akiwa kama Mtangazaji na amejiunga katika timu ya @lillianmwasha_ na @mkandamizaji kwenye kipindi cha dini.
Akimtambulisha Mchungaji huyo Mkurugenzi wa EFM na TVE @majizzo ameeleza dhima yake ya kuleta kipindi kile kwenye media yake ambapo anaamini ndio kitakuwa kipindi bora Afrika cha dini.
@majizzo amemtambulisha @hananja.r mbele ya Waziri mwenye dhamana ya Habari Mhe. @napennauye
Video nzima ipo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.
Written and edited by @el_mando_tz