Michezo

Mechi ya Simba dhidi ya Dodoma Jiji yapelekwa mbele

Leo Feb 12, 2025 kikosi cha Dodoma Jiji kimefanikiwa kurejea Dodoma baada ya ajali waliyoipata Lindi

❌ Mechi dhidi ya Simba iliyopangwa kuchezwa Feb 15 katika uwanja wa KMC haitochezwa.

✅ Dodoma Jiji wataendelea na matibabu katika hospitali ya Benjamin Mkapa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents