HabariMichezo

Messi kutua Inter Miami ya Marekani

Taarifa za kuaminika zinadai kuwa Mshambuliaji wa PSG, Lionel Messi amejiunga na Klabu ya Inter Miami inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani MLS.

Messi anatarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia sasa baada ya kuachana na ofa kutoka katika timu yake ya zamani Barcelona pamoja na Al Hilal ya Saudi Arabia.

Credit by @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents