Lifestyle

Miss Linda aibeba Miss Dar Zone

Asema Ma-Miss wanaofanya mabaya wanatambulika

Mrembo @official_lindasamson ambaye ni Miss Tanzania namba tatu kupitia kampuni yake ya We Planners amekuja na Miss Dar Zone ambapo usaili wake utafanyika weekend hii.

Akiongea na Bongo5 Onomo Hotel Jumamosi hii jijini Dar Es Salaam kuhusu tasnia ya urembo na jinsi watu wanavyoichukulia, Linda amedai watu wangi wamekuwa wakisikia mabaya mengi yanayofanywa na baadhi yao kuliko mazuri.

Alisema kuna warembo wengi wanafanya mambo makubwa lakini hawasikiki kuliko yale mabaya yanayofanya na wachache.

Amemtaja Jokate, Basila Mwanukuzi pamoja na wengine kama mfano wa kuigwa katika tasnia hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents