Kupitia mitandao ya kijamii kumeibuka tetesi za nyota wa Klabu ya Simba SC raia wa Serbian, Dejan Georgijević kundoka.
“Nathibitisha kuwa mkataba wangu na Simba SC umevunjika, kutokana na mwajiri wangu kukiuka makubaliano yakimkataba, ahsante washabiki kwa mapenzi yenu.” Dejan Georgijevic.