HabariUncategorized
Mkurugenzi wa fedha Bugando afariki baada ya kujirusha juu ya ghorofa
Mkurugenzi wa fedha Bugando afariki baada ya kujirusha juu ya ghorofa
Hospitali ya rufaa Bugando mkoani Mwanza imepata pigo kubwa sana baada ya kuondokewa na Mkurugenzi wa fedha na mipango katika hospitali hiyo baada ya kudaiwa kujirusha kutoka juu ya ghorofa.
Inadaiwa mkurugenzi huyo alijirusha kutoka juu ya ghorofa hadi kufariki dunia,mkurugenzi huyo kwa jina anajulikana kama Mtwana Suzan Bathlomeo.
Mtwana alichukua maamuzi hayo ya kujiua kwa kujirusha kutoka juu ghorofani baada ya kutoka Kanisani kusali misa ya saa 12:00 asubuhi ya leo siku ya jumanne.
By Ally Juma.
Oooh my gd innocent woman kabisa nn kimemsibu
Nini shida jaman
Kunasababu RIP
Doooh Atakuwa alikuwa na msongo mkubwa sana wa mawazoooo pole sn
daaaaaa jmn
Aliiba kiasi gani cha fedha??
Sister huyu ametuweka njia panda wakatoliki
Daaaaa noma kweli apo
ALISHA PAAA KITAMBO