HabariMichezo

Morisson kawasaliti Kengold

Kocha Msaidizi wa KenGOld, Omary Kapilima amezungumzia hali ya kikosi chake akisema:

Bernard Morrison

“Wachezaji wote wapo sawa sawa kasoro Bernard Morrison ambaye ana changamoto, anamalizia matibabu ili aanze mazoezi, lakini waliobaki wote wapo vizuri.
.
“Katika mechi 16 tumepata alama sita, baada ya ligi kusimama, hivyo ni kama tunaaza upya kesho (leo) tukitegemea kupata alama tatu.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents