Kocha wa Klabu ya Yanga, Nabi amesema kuwa baadhi ya wachezaji wake hawatakuwepo kwenye mchezo wa marudioano dhidi ya Zalan FC utakaopigwa hapo keshi siku ya Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Nabi amewataja baadhi ya nyota hao akiwemo Bernard Morrison, Aucho watakosekana kutokana na sababu ambazo amezitaja.
Kuangalia Full Video bofya HAPA