Burudani

Msanii Pandamonae wa Nigeria avutiwa na soko la muziki Afrika Mashariki

Pandamonae ni msanii wa Muziki kutoka nchini nigeria ambaye amekuwa akionyesha uwezo wake na ubunifu mkubwa kupitia Beat za wasanii mbali mbali Lakini licha ya hivyo Pandamonae Anatamani kuigusa Africa mashariki kwa uwezo wake kupitia aina mbali mbali ya muziki.

 

Moja ya wimbo wake ambao unafanya vizuri kwa sasa ni “LABALABA” ambao unapatikana katika platform mbali mbali za muziki ukiwa katika miondoko ya Afro beat.

Lakini kwa sasa Pandamonae ameamua kufanya ubunifu wake kupitia beat ya Wimbo wa Akon “don’t matter” kwa kuonyesha uwezo wake.

Tazama hapa na pia unaweza kumfatilia kupitia mitandao yake ya kijamii kwa jina la @pandamonae

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents