Burudani

Msanii wa Joh Makini Otuck azindua EP, Mastaa wahudhuria (+ Video)

Leo katika uzinduzi wa EP ya msanii @otuck_william ambaye yupo chini ya lebo ya @johmakinitz yaani @makini_records_official walihudhuria mastaa wengi sana.

Miongoni mwa mastaa waliohudhuria katika tukio hilo ni @juma_jux #Weusi wakiongozwa na @johmakinitz @nikkwapili @lordeyesmweusi wengine ni @iambenpol pamoja na wadau wengine kama Watangazaji kama @lilommy , @skytanzania @adamchomvu na wengine.

#EP ya Otuck inaitwa THE FUTURE MEMORIES.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents