Muziki
Msanii wa P Funk Majan Rapcha atoa Album ‘Wanangu99’ King Kaka na Femi one wala shavu (+ Video)
Mbali na hilo @rapcha_tz ameshirikisha wasanii kutoka Kenya ambao ni King Kaka pamoja na Femone wasanii kutoka Bongo Fleva hajawapa airtime sana ameeleza sababu za kufanya hivyo.
Lakini pia kwanini ameipa jina la #WANANGU99 ? Msikilize Rapcha.