HabariTechnology

Mtandao wa WhatsApp wapata hitilafu, huwezi kutuma wala kupokea meseji

programu maarufu ya mawasiliano ya papo hapo inayomilikiwa na Meta ambayo hutumiwa na watu wengi kutuma ujumbe mfupi haraka maarufu kama WhatsApp inaripotiwa kukabiliwa na tatizo Mtandao huo hauko hewani kwa Watumiaji wengi Duniani na kufanya Watumiaji wake kushindwa kufanya chochote kwenye WhatsApp zao, sababu za kutokuwa hewani bado hazijawekwa wazi.

 

Indianexpress.com inaweza kuthibitisha kuwa hitilafu hiyo inaathiri soga za kibinafsi na soga za kikundi. Kwa sasa inaonekana haiwezekani kutuma ujumbe kwenye vikundi vya WhatsApp, lakini mazungumzo ya kibinafsi pia yanaonekana kuathiriwa kwa kiasi kikubwa.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents