Habari

Mtu anayechangia Mbegu katika Hopsitali ya Kairuki huwa hafahamu anamchangia nani

Kutokana na kuwepo kwa matukio ya watu waliowahi kuwachangia watu fulani mbegu za uzazi kurudi kudai watoto au kutaka pesa na kugeuka kuwa usumbufu kwa couple Daktari kutoka Hospitali ya @khkairukihospital @kairuki_green_ivf

Mtaalam wa Afya JEAN PIERRE NJORI amesema kuwa mtu anayechangia Mbegu katika Hopsitali ya Kairuki huwa hafahamu anamchangia nani na hata wanaochangiwa hawajui mbegu zimetoka kwa nani. Pierre ameyasema hayo kwenye kilele cha kuhitimisha mafunzo kwa madaktari wa uzazi kutoka Hospitali mbalimbali nchini yaliyoandaliwa na @kairuki_green_ivf

Video Nzima ipo katika Akaunti yetuyoutube ya Bongo5

Written and edited by #abbrah255 and @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents