Michezo
Muhindi wa Simba amvaa Matola kuwahujumu makocha wageni

KWANINI MAKOCHA WANAFUKUZWA LAKINI MATOLA ANABAKI??
Mwanachama wa klabu ya Simba @muhindi_wa_simba53 akiwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa kwa ajili ya kushuhudia mchezo kati ya Simba dhidi ya Azam ametoa swali kwa Uongozi wa Simba kwamba inabidi wajiulize zaidi juu ya Kocha Selemani Matola
Kuangalia video kamili tembele kurasa wa Youtube Bongofive
Imeandaliwa na @witnessflavian24 na @johnbosco_mbanga




