Burudani
Mumbaji Phetty baada ya miaka 6 ya Udaktari arudi na ‘Kiranga Koma’ (Video)
Msanii wa muziki @phettyofficial amefunguka mengi kwenye exclusive na Bongo5 kuhusu kuweka pembeni muziki na kuwekeza kwenye elimu zaidi.
Muimbaji huyo ambaye anasimamiwa na @masauti_entertainment amesema aliamua kuchagua elimu kwanza kabla ya muziki kwa sababu aliona nafasi yake kwenye muziki haiwezi kuchukuliwa na mtu yeyote.