Muziki

MUSIC AUDIO: Dicksama Ft. Mr Blue – KUNESA

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Dicksama akiwa na mkongwe wa muziki wa Rap Tanzania, Mr Blue wameachia audio ya ngoma mpya ‘kunesa’ na wanakukaribisha kusikiliza mkwaju huo kwa kubofya link hapa chini;

Producer wa ngoma hii ni Yakka Boom kutoka studio za New Sound, Enjoy.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents