Muziki
MUSIC AUDIO: Sai Lee Ft. Don Van & Digala – CALL ME
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Sai Lee ameachia audio ya ngoma yake mpya ‘Call Me’ na anakualika usikilize ngoma hiyo kwa kubofya link hapa chini
Ngoma hiyo aliyowashirikisha Don Van na Digala, Imetengezwa na Producer Nasty, Enjoy.