Msanii wa muziki wa Bongo Fleva anayekuja kwa kasi kwenye Tasnia ya muziki huo Nchini Tanzania, Xander Cybason (@xander.cybacon) ameachia video ya ngoma yake mpya ya ‘SHUKA’ na anakukaribisha uitazame kwa kubofya link hapa chini.
Producer wa ngoma hii ni Josnict na video imeongozwa na Director Sam G, Enjoy.