HabariMichezo

Musonda na Jean Baleke tofauti yao ni hii (+Video)

Mchambuzi wa soka @allimzuri20 amewaambia wale wanaombeza Mshambuliaji wa Yanga, Kennedy Musonda kwakutofunga goli kwenye Ligi Kuu katika michezo aliyocheza kuwa Jean Baleke wa Simba SC ni kwasababu ya kuwa chaguo namba moja.

”Tofauti ya Kennedy Musonda wa Yanga na Jean Baleke kutoka Simba ni kwasababu Baleke yeye ni chaguo la kwanza Simba.”- @allimzuri20

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents