Burudani

Mwarabu Fighter ajitabiria kurudi WCB kufanya kazi tena na Diamond

Mwarabu Fighter ajitabiria kurudi WCB kufanya kazi tena na Diamond

Aliyekuwa mlinzi (Bodygurd) wa msanii na boss wa lebo ya muziki Tanzania WCB Wasafi Diamond Platinumz anayejulikana kwa jina la Mwarabu Fighter afunguka mengi kuhusiana na hatma yake kufanya kazi tena na Diamond.

Mwarabu alifunguka baada ya kupiga stori na Bongo Five,baada ya kukutana nae maeneo ya Samaki samaki mahali ambapo Diamond pamoja na timu yao nzima ya WCB walikuwa na tafrija ya Rom Jones inayohusu birthday yake.

Mwarabu alifunguka mengi sana na hasa baada ya kuulizwa kuhusu kurudi tena kufanya kazi WCB.

Mwarabu Fighter inasemekana alifukuzwa na boss wake Diamond Platinumz kwa kile kinachosemekana kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na mpenzi wake Harmonize Sara.

By Ally Juma.

Related Articles

5 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents