BurudaniHabari

Mwijaku na Juma Lokole warushiana maneno mazito mtandaoni

@mwijaku na @jumalokole20 wamekuwa wakirushiana maneno mitandaoni kila mmoja akimponda mwenzake.

@jumalokole20 alianza kumkosoa @mwijaku baada ya kudai @kajalafrida alikosea kuvaa mavazi yasiyokuwa na maadili mbele ya viongozi wa Serikali.

Mwijaku naye hakunyamaza aliongea ya kwake kuhusu Lokole.

Kupitia #recapnamando @el_mando_tz amedadavua kwa urefu kabisa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents