Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Mwijaku: Roma unamkosea sana mke wako, bora muacheni mlee watoto
DC wa Instagram @mwijaku amemuandikia rapa wa muziki wa Bongo Fleva @roma_zimbabwe ambaye kwa sasa amehamishia makazi yake nchini Marekani.
@mwijaku amemubia @roma_zimbabwe kuwa aache kumfuatilia mke wake kama vipi waachane ili wabaki kulea watoto tu.
Unahisi alichoandika @mwijaku yupo sahihi au unamshauri @roma_zimbabwe kipi??