Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

Mwijaku: Wengi wanaamini Nandy ana hela kuliko Bilnass ni uongo

“Mwanaume anabaki kuwa Mwanaume kwenye kila jambo, nimebahatika kuangalia akaunti zao za fedha” “Wengi wanamaini @officialnandy ana hela kuliko @billnass lakini hapana, Nenga ana hela sana”

“Wote tunayajua maisha ya Bilnass alipoanzia hata Nandy alianzia kwenye maisha, nilipoona akaunti zao za fedha nilipagawa.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents