Leo Bonngo5 tumefanya mahojiano na rapa kutoka Afrika Kusini ambaye pia yupo kwenye Reality show ya Young Famous & African ambayo pia @diamondplatnumz yupo huyu ni @nadianakai
Amezungumza kuhusu @diamondplatnumz kukosea Kiingereza kwa kusema Am a Thirty First badala ya Thirty one
Amezungumzia pia mahusiano yake na @diamondplatnumz lakini kubwa lingine ni kwamba amesema kutoka Tanzania hawajui wasanii wowote wale zaidi ya @diamondplatnumz