HabariSiasa

Nampigia Kampeni Lissu nachagua Demokrasia-Lema

“mimi @godbless_lema namfanyia kampeni lissu @TunduALissu na kabisa namfanyia kampeni na nitamsaidia kwenye hii kampeni nimesema tena nitakuwa na wakati mgumu kwa kaka yangu (Mbowe) @freemanmbowetz kama hatanielewa lakini nina uchaguzi mkubwa zaidi wa kuchagua demokrasia dhidi ya utamaduni wetu.”

Ni maneno ya Godbless Lema @godbless_lema akizungumza na wanahabari leo Januari 14 Dar Es Salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents