Michezo

Namungo kupewa Milioni 50 kuiteketeza Simba

Inaelezwa kuwa Uongozi wa klabu ya Namungo kwa kushirikiana na wadau umeweka ahadi ya donge nono kama motisha kwa wachezaji ili waweze kupata ushindi mbele ya mnyama leo.

Vigogo hao wametoa ahadi ya Sh 50 milioni kwa wachezaji endapo wataibuka na ushindi dhidi ya Simba.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents