HabariSiasa

Namuomba Mbowe apumzike amuachie Lissu-Lema

“Mwenyekiti (@freemanmbowetz) amekuwa kwenye chama kwa miaka 30 lakini pia amekuwa kiongozi wa chama kwa miaka 21, Mbowe ni ndugu na kaka yangu tumetoka wote Machame, leo nimekuja kumuomba apumzike amuachie @TunduALissu afanye kazi ya uenyekiti. Tunavyosema mwenyekiti (Mbowe) apumzike hatusemi kwamba hana nguvu” @godbless_lema, Kada wa @ChademaTz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents