Muimbaji @officialnandy ambaye siku ya jana ameachia wimbo Party akiwa na @billnass , amefunguka matatizo wanayopitia wasanii wa Tanzania kwenye tuzo za Afrima huku akieleza jinsi @officialzuchu alivyokatishiwa maoezi yake ya show kisa msanii wa Nigeria.
Kuangalia full interview tembelea YouTube ya Bongo5
Written and edited by @yasiningitu