Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Nandy amjibu Baba levo, ondoa pua yako kama puto
Kupitia instagra Baba levo alienda ku-comment kwenye page ya Nandy akidai eti msannii wa Nandy Yammi amepoa sana yaani hajachangamka mitanndaoni.
Baada ya commet hiyo Nandy alimjibu na kumwambia “Tunampenda hivyo hivyo opndoa pua yako kama Puto”
Wewe unaona comment ya Baba levo ipo sahihi??