Burudani

Nandy athibitisha kuacha kufanya kazi na aliyekuwa meneja wake Mocco, sipo naye tena (+ Video)

Mbali na hilo #Nandy amethibitisha ujio ya Festival yake. Akiongea na wana habari wakati anapata ubalozi mpya @officialnandy ameeleza kuwa harusi yao na @billnass tayari vikao vimeanza kwa maana hiyo ipo katika hatua za mwisho.
Kuhusu kuacha kufanya kazi na aliyekuwa meneja wake @mokobiashara amethibitisha kuwa ni kweli amemsimisha.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents