BurudaniHabari

Nandy atoa orodha ya nyimbo kwenye EP yake ya Maturity

Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialnandy tayari ametoa orodha ya ngoma zinazopatikana kwenye EP yake mpya ya MATURITY.

EP hiyo yenye ngoma tano ameshirikisha wasanii tofauti tofauti akiwemo msanii mchanga wa Bongo Fleva #Lody Music.

Mbali na Lody Music wasanii wengine ni Dulla Makabila kutoka Tanzania ambaye ypo kwenye track namba 4, Oxlande kutoka nchini Nigeria ambaye yupo kwenye wimbo namba 1 lakini pia Nviiri the storyteller kutoka Kenya kwenye wimbo namba 2 lakini kwenye wimbo wa mwisho ni msanii Natty kut0ka nchini Marekani kwenye wimbo namba 5.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents